Habari mpya

KIKAPU: MOHAMED DOUMBYA AIONGOZA UGB KUISHINDA REG NA KUFUZU NUSU FAINALI YA PLAYOFFS

Katika mechi ya mwisho ya msimu wa kawaida, timu ya UGB Basketball iliendeleza moto wake kwa…

BAL 2025: APR BBC YAITANDIKA AL ITTIHAD, YAWEKA HISTORIA KWA MEDALI YA SHABA

Pretoria, 13 Juni 2025 – Klabu ya APR BBC kutoka Rwanda imeweka historia mpya kwa kushinda medali…

CRICKET:TANZANIA NA ZIMBABWE ZAFUZU FAINALI YA MASHINDANO YA WANAWAKE YA T20 YA KWIBUKA 2025

Katika mashindano ya Kwibuka Women’s T20 2025, yanayofanyika kwa heshima ya kumbukumbu ya mauaji ya kimbari dhidi…

CRICKET: RWANDA YAILAZA UGANDA KWA WICKETS 5, YASHIKA NAFASI YA KWANZA KUNDI LA MASHINDANO YA KWIBUKA T20 2025

Katika mechi iliyosubiriwa kwa hamu kwenye hatua ya makundi ya Mashindano ya Wanawake ya Kwibuka T20 2025,…

TRENT ALEXANDER-ARNOLD AJIUNGA RASMI NA REAL MADRID, ATAVAA JEZI NAMBA 12

Katika uhamisho mkubwa uliozua gumzo, Trent Alexander-Arnold, beki wa kimataifa wa Uingereza mwenye umri wa miaka…

FINALI ZA NBA: INDIANA PACERS WAWAZIDI OKLAHOMA CITY THUNDER NA KUCHUKUA UONGOZI WA 2-1

Katika mchezo wa tatu wa fainali za NBA uliosheheni ushindani mkubwa, Indiana Pacers walitoka nyuma na…

KOMBE LA DUNIA LA KLABU 2025: TIMU SHIRIKI, ZAWADI KUBWA, NA MAMBO YA KUTAZAMIA

Mashindano ya FIFA Club World Cup 2025 yataandikwa kwenye historia ya soka ya vilabu: kwa mara…

BAL2025 :SAFARI YA APR BBC YAKATIZWA NUSU FAINALI NA AL AHLI TRIPOLI

APR BBC kutoka Rwanda imehitimisha safari yake katika michuano ya Basketball Africa League (BAL) 2025 baada…

RWANDA NA UGANDA WAPOTEZA KWA MARA YA KWANZA KWENYE MASHINDANO YA KWIBUKA WOMEN’S T20 2025

Kwa mara ya kwanza katika historia ya mashindano ya KWIBUKA Women’s T20, timu za taifa za…

MTETEMEKO POLICE FC: KOCHA MASHAMI VINCENT AAGANA NA KLABU

Klabu ya Police FC imethibitisha kuachana rasmi na kocha wake mkuu Vincent Mashami, aliyekuwa akiiongoza kwa…